Sergio Aguero (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili, la kwanza kwa penalti dakika ya 27 na lingine akimalizia pasi ya Kevin De Bruyne dakika ya 36 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City leo Uwanja wa Bet365 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yalifungwa na Manuel Agudo Duran maarufu Nolito dakika ya 86 na 90 na ushei, wakati la wenyeji lilifungwa na Bojan Krkic kwa penalti dakika ya 49 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The personal tragedy that still shakes Cristiano Ronaldo: How chaotic, 'no
dignity' funeral of the alcoholic father he 'didn't really know' led him to
skip Diogo Jota's goodbye for yacht holiday
-
Cristiano Ronaldo has almost completed football, but there is a hole in his
heart no trophy will ever fill.
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment