Wachezaji wa PSG wakishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza Ufaransa kutwaa Kombe la Ligi mara nne mfululizo kufuatia kuifunga Monaco 4-1 Uwanja wa Parc Olympique Lyonnais. Mabao ya PSG yalifungwa na Julian Draxler dakika ya nne, Angel Di Maria dakika ya 44 na Edinson Cavani mawili dakika za 54 na 90, wakati la Monaco lilifungwa na Thomas Lemar dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Ekitike is instant Anfield hero but defence brutally exposed'
-
Hugo Ekitike's headline act does not disguise flaws which Liverpool boss
Arne Slot must address, says BBC Sport chief football writer Phil McNulty.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment