Mshambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa akimuacha chini beki wa Azam FC, Mghana Daniel Amoah katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, DXares Salaam. Yanga ilishinda 1-0
Beki wa Yanga, Juma Abdul akitafuta maarifa ya kumpita winga wa Azam, Ramadhani Singano 'Messi'
Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke akimtoka beki wa Azam, Erasto Nyoni Uwanja wa Taifa
Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni akimtoka winga wa Yanga, Geoffrey Mwashiuya
Kikosi cha Yanga katika mchezo wa jana na chini ni kikosi cha Azam
Latest news bulletin | May 10th, 2026 – Morning
-
Catch up with the most important stories from around Europe and beyond this
May 10th, 2026 - latest news, breaking news, World, Business,
Entertainment, Po...
0 comments:
Post a Comment