Kiungo chipukizi wa Arsenal, Reiss Nelson akimtoka mshambuliaji Mserbia wa Red Star Belgrade, Nemanja Radonjic (kushoto) katika mchezo wa Kundi H Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates, timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana. Pamoja na matokeo hayo, Arsenal imefuzu hatua ya mtoano kwa kufikisha pointi 10, ikiwazidi kwa pointi tano Crvena Zvezda zikiwa zimebaki mechi mbili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham or Phil Foden face England axe: Thomas Tuchel announces
Foden now WON'T play on the wing - meaning one of Euro 2024's awkward star
pairing must go
-
Bellingham and Foden had started all seven matches England played at Euro
2024, but after a link-up initially caused excitement concern soon emerged
after ...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment