Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao pekee la ushindi dakika ya 67 ikiwapiga 1-0 Valencia katika Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme, Copa del Rey usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barca itatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo mwembamba kwenye mechi ya marudiano Februari 8, mwaka huu PICHA GONGA HAPA
Why Emma Raducanu hiring ANOTHER new coach is a sign of great maturity,
writes MATTHEW LAMBWELL
-
COMMENT BY MATTHEW LAMBWELL: Much of the social media reaction to
Raducanu's appointment of a new coach was comparable to Brenda from
Bristol's viral react...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment