Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akiwa na kocha wake, Mfaransa Arsene Wenger wakati anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Arsenal kwa miaka mitatu na nusu zaidi wiki hii, ambao utamfanya awe analipwa mshahara wa Pauni 300,000, ambao ni Pauni 120,000 zaidi ya anaolipwa mshambuliaji mpya, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cocky cyclist hit with instant karma after celebrating race win metres from
the finish line
-
The incident took place during the final stage of the Iraqi Cycling
Championships, which had more than 20 cycling clubs representing capital
Baghdad and th...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment