Isco akipiga shuti la mpira wa adhabu kuipatia bao la kwanza Real Madrid dakika ya 29 katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya wenyeji, Malaga Uwanja wa La Rosaleda usiku wa jana. Bao la pili la Real Madrid iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo jana, lilifungwa na Casemiro dakika ya 63 wakati la Malaga lilifungwa na Diego Rolandakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘Better the devil you know’: former Labour voters in Birmingham unsure
about replacing Starmer
-
Focus group sceptical that replacing Keir Starmer would improve party’s
fortunes, with some drawn to Reform or the Greens
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment