Antoine Griezmann akiinua mkono juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote mawili Ufaransa dakika ya 62 akimalizia pasi ya beki Lucas Hernández na dakika ya 80 kwa penalti baada ya Blaise Matuidi kuangushwa kwenye boksi katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ujerumani kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Bao la Ujerumani lilifungwa na Toni Kroos dakika ya 14 kwa penalti pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Latest news bulletin | May 10th, 2026 – Morning
-
Catch up with the most important stories from around Europe and beyond this
May 10th, 2026 - latest news, breaking news, World, Business,
Entertainment, Po...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment