Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 64 katika sare ya 2-2 na Valencia usiku huu kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Messi pia alifunga bao la kwanza la Barcelona kwa penalti dakika ya 39, kabla ya Valencia kusawazisha kupitia kwa Kevin Gameiro dakika ya 24 na kufunga la pili kupitia kwa Dani Parejo kwa penalti dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why this speedy Liverpool star can be the man to share Mohamed Salah's
burden - and how WILL Arne Slot fit all of his new superstar forwards in?
-
JAMES SHARPE: Slot's first act after securing the Premier League title was
to turn to the Kop and sing the name of the man who came before him.
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment