Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 64 katika sare ya 2-2 na Valencia usiku huu kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Messi pia alifunga bao la kwanza la Barcelona kwa penalti dakika ya 39, kabla ya Valencia kusawazisha kupitia kwa Kevin Gameiro dakika ya 24 na kufunga la pili kupitia kwa Dani Parejo kwa penalti dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Formula One's Las Vegas Grand Prix halted by loose MANHOLE COVER - which
isn't even shown in TV cover-up
-
Formula One's flagship race in Las Vegas got off to a typically shaky start
when a manhole cover worked loose during the second practice session headed
by ...
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment