Kiungo wa Cagliari, Nicolo Barella akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Italia dakika ya saba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Finland kwenye mchezo wa J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Dacia Arena mjini Udine. Bao la pili la The Azzuri lilifungwa na Moise Kean dakika ya 74 wakati mechi nyingine za kundi hilo, Ugiriki ilishinda 2-0 ugenini dhidi ya Liechtenstein mjini Vaduz na Bosnia-Herzegovina ikaichapa 2-1 Armenia mjini Sarajevo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the touching Billy Slater dressing room act that speaks volumes about
his scandal-plagued State of Origin week
-
The Queensland coach had one of the most stressful build-ups to a match in
his long career as his job hung by a thread in Perth on Wednesday night.
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment