Kiungo wa Cagliari, Nicolo Barella akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Italia dakika ya saba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Finland kwenye mchezo wa J kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Dacia Arena mjini Udine. Bao la pili la The Azzuri lilifungwa na Moise Kean dakika ya 74 wakati mechi nyingine za kundi hilo, Ugiriki ilishinda 2-0 ugenini dhidi ya Liechtenstein mjini Vaduz na Bosnia-Herzegovina ikaichapa 2-1 Armenia mjini Sarajevo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Athletic Club's unique player policy drives success
                      -
                    
BBC Sport visits Bilbao to explore Athletic Club's policy of fielding only 
Basque players, how this approach has brought success, and the importance 
of the...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment