Mshambuliaji wa Simba SC, Adam Salamba akimdhibiti beki wa Ruvu Shooting, Tumba Lui Swedi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba ilishinda 2-0.
Beki Mghana wa Simba SC, Nicholas Gyan (kushoto) akipiga hesabu za kumpokonya mpira winga wa Ruvu Shooting, Emmanuel Martin (kulia)
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga (kushoto) akipiga mpira jana dhidi ya mchezaji wa Ruvu Shooting
Kikosi cha Simba SC kilichoanza kwenye mechi ya jana dhidi ya Ruvu Shooting
Kikosi cha Ruvu Shooting kilichoanza kwenye mechi ya jana dhidi ya Simba SC
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
2 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment