Cristiano Ronaldo akishangilia kwa kumkejeli kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone baada ya kuifungia Juventus mabao yote matatu dakika za 27 akimalizia pasi ya Federico Bernardeschi, 49 pasi ya Joao Cancelo na 86 kwa penalti katika ushindi wa 3-0 kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Kwa matokeo hayo, Juventus inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kufungwa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment