Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 77 kufuatia Isco kufunga la kwanza dakika ya 62 ikiilaza Celta Vigo 2-0 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu, Zinadine Zidane akirejea na mguu mzuri kwa ushindi katika mchezo wake wa kwanza baada ya kupewa tena mikoba ya kuionoa timu hiyo. Kwa ushndi huo, Real Madrid inafikisha pointi 54 katika mchezo wa 28, ikiendelea kushika nafasi ya tatu nyuma ya Atletico Madrid yenye pointi 56 za mechi 28 pia na Barcelona pointi 63 mechi 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump open to shifting US troops from Germany to Poland
-
Will US troops withdrawn from Germany be moved to Poland? When asked, US
President Donald Trump said Warsaw favours the idea, and it is
feasible.View on eu...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment