Nahodha Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Hispania kwa penalti dakika ya 71 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Norway kwenye mchezo wa Kundi F kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Mestalla mjini Valencia. Hispania ilitangulia kwa bao la Rodrigo dakika ya 16 kabla ya Joshua King kuisawazishia Norway kwa penalti dakika ya 65 na mechi nyingine za kundi hilo, Sweden iliichapa 2-1 Romania mjini Solna na Malta ikaifunga 2-1 Faroe Islands mjini Ta'Qali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment