Sergio Aguero na Bernardo Silva wakishangilia pamoja baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Manchester City dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Craven Cottage mjini London. Silva alifunga dakika ya tano na Aguero dakika ya 27 na kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 77 baada ya kucheza mechi 31, ikirejea kileleni mwa Ligi Kuu England, sasa ikiizidi pointi moja Liverpool ambayo kesho itamenyana na Tottenham Hotspur Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Move aside, Luiz and Lehmann! Introducing football's glamorous new POWER
couple who sparked up a romance at the same Premier League club
-
For a long time Alisha Lehmann and Douglas Luiz represented football's most
prominent power couple - but their break up has paved the way for another
duo t...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment