Eden Hazard akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 10 kabla ya Michy Batshuayi kufunga la pili dakika ya 18 Ubelgiji ikiwalaza wenyeji, Cyprus 2-0 katika mchezo wa Kundi I kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Neo GSP mjini Nicosia. Hazard amekamilisha mechi 100 za kuichezea Ubelgiji, huku mechi nyingine za kundi hilo jana Urusi iliikung'uta Kazakhstan 4-0 mjini Astana na Scotland ikaifunga 2-0 San Marino mjini Serravalle PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees fans demand Aaron Boone is fired as season hits new low and stands
of the brink of catastrophe
-
New York Yankees fans are demanding Aaron Boone is fired as season hits a
new low and stands of the brink of catastrophe following the franchise's
sweep at...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment