Mshambuliaji wa Wolverhampton Wanderers, Raul Jimenez (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 70 ikiilaza Manchester United 2-1 katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 76, wakati bao la Man United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Boxing legend Floyd Mayweather Jr. sparks fury with comments on Israel
-
Weeks after a ceasefire agreement between Hamas militants from Gaza and
Israel's government, undefeated boxing legend Floyd Mayweather Jr. has now
entered ...
46 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment