Mshambuliaji wa Wolverhampton Wanderers, Raul Jimenez (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 70 ikiilaza Manchester United 2-1 katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 76, wakati bao la Man United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kwande leaders endorse Tinubu for 2027, applaud Akume’s developmental
strides
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja A high-powered delegation from Kwande
Local Government Area (LGA) of Benue State has declared unwavering support
for P...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment