Moto ukiwaka uwanjani kufuatia mashabiki wa Panathinaikos kuwavamia na kuwafanyia vurugu kwenye benchi wachezaji wa Olympiacos wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Ugiriki ambao ulilazimika kusimama kwa dakika nane kuanzia dakika ya nne tangu kuanza kwa mchezo huo wa mahasimu wa Athens Uwanja wa OAKA ili Polisi watulize vurugu hizo. Mechi iliendelea na Olympiacos ikashinda 1-0, bao pekee la Guerrero dakika ya 53 ingawa Panathinaikos iko hatarini kupokonywa pointi baada ya vurugu hizo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment