Moto ukiwaka uwanjani kufuatia mashabiki wa Panathinaikos kuwavamia na kuwafanyia vurugu kwenye benchi wachezaji wa Olympiacos wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Ugiriki ambao ulilazimika kusimama kwa dakika nane kuanzia dakika ya nne tangu kuanza kwa mchezo huo wa mahasimu wa Athens Uwanja wa OAKA ili Polisi watulize vurugu hizo. Mechi iliendelea na Olympiacos ikashinda 1-0, bao pekee la Guerrero dakika ya 53 ingawa Panathinaikos iko hatarini kupokonywa pointi baada ya vurugu hizo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment