Eden Hazard akishangilia na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 kwa penalti na 88 katika ushindi wa 3-1 wa Ubelgiji dhidi ya Urusi usiku wa jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussells, Ubelgiji. Bao lingine la la Ubelgiji lilifungwa na Youri Tielemans dakika ya 24, wakati bao la Urusi lilifungwa na Denis Cheryshev dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
COSEYL commends Tinubu over Nnanna Kalu’s appointment to NASC
-
From Stanley Uzoaru, Owerri The Coalition of South East Youth Leaders
(COSEYL) has expressed gratitude to President Bola Ahmed Tinubu for
appointing Nnan...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment