Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Brazil mabao mawili dakika za 83 na 90 ikiichapa Jamhuri ya Czech 3-1 kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Sinobo mjini Praha. Bao lingine la Brazil lilifungwa na Roberto Firmino dakika ya 49, wakati la Czech lilifungwa na David Pavelka dakika ya 37 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police deploy 700 officers, drones, dogs and horses - and make stadium a
no-fly zone - in huge operation to stop unrest at Aston Villa vs Maccabi
Tel Aviv after Israeli fans were BANNED
-
West Midlands Police will also deploy drones, dogs, horses and 'protest
liaison officers' at a match from which away fans are banned. A no-fly zone
will al...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment