Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Barcelona dakika ya 71 na 89 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou.  Kwa ushini huo, Barcelona inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mech 29 na kuendelea kuongoza La Liga, ikifuatiwa na Atletico Madrid pointi 56 na Real Madrid pointi 54  
How Athletic Club's unique player policy drives success
                      -
                    
BBC Sport visits Bilbao to explore Athletic Club's policy of fielding only 
Basque players, how this approach has brought success, and the importance 
of the...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment