Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akijaribu kuwatoka mabeki wa Ukraine usiku wa jana Uwanja wa  Luz mjini Lisbon katika mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 alipokuwa akiichezea Ureno kwa mara ya kwanza tangu baada ya Fainali za kombe la Dunia mwaka jana Urusi. Timu hizo hazikufungana na mechi nyingine ya Kundi B jana, Luxembourg iliichapa Lithuania 2-1 mjini Luxembourg PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Athletic Club's unique player policy drives success
                      -
                    
BBC Sport visits Bilbao to explore Athletic Club's policy of fielding only 
Basque players, how this approach has brought success, and the importance 
of the...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment