Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia kwa furaha baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 62 na 68 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Jamhuri ya Czech kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Three Lions yalifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 45 na Tomas Kalas aliyejifunga dakika ya 84. Mechi nyingine ya Kundi A jana, Bulgaria ililazimishwa sare ya 1-1 na Montenegro jana mjini Sofia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Pickford reveals the unusual sport he would 'love' to take part in
but is BANNED from due to his footballing career
-
Pickford remains a regular at club level for Everton, where he has played
every Premier League game this season. He has one eye on the summer,
however, whe...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment