Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia kwa furaha baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 62 na 68 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Jamhuri ya Czech kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Three Lions yalifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 45 na Tomas Kalas aliyejifunga dakika ya 84. Mechi nyingine ya Kundi A jana, Bulgaria ililazimishwa sare ya 1-1 na Montenegro jana mjini Sofia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo is famed for his amazing fitness and physique - but an
expert believes an NRL star puts the soccer legend in the shade
-
Manly star Jason is regarded by many good judges as the fastest man in the
NRL - and now an expert has given him a clear edge over one of the fittest
athle...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment