Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiugulia maumivu jana wakati wa mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 dhidi ya Serbia usiku wa jana Uwanja wa Luz mjini Lisbon timu hizo zikitoka sare ya 1-1 kufutia kuumia nyama za paja kabla ya kutolewa dakika ya 31 tu nafasi yake ikichukuliwa na Pizzi. Kwa sare ya pili mfululizo jana, Ureno inashika nafasi ya tatu kwa pointi zake mbili nyuma ya Luxembourg pointi tatu na Ukraine pointi nne. Na hiyo baada ya jana Ukraine kuwachapa wenyeji, Luxembourg 2-1 mjini Luxembourg katika mchezo mwingine wa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the touching Billy Slater dressing room act that speaks volumes about
his scandal-plagued State of Origin week
-
The Queensland coach had one of the most stressful build-ups to a match in
his long career as his job hung by a thread in Perth on Wednesday night.
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment