Kikosi cha Simba SC kabla ya mechi ya Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara Julai 2, mwaka 1994 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Kutoka kulia waliosimama George Masatu, Mustapha Hoza, Hussein Marsha, Mwameja Mohammed, Godwin Aswile, Madaraka Suleiman na Mfadhili, Azim Dewji. Waliochuchumaa kutoka kulia Edward Chumila (marehemu), Iddi Suleiman ‘Meya’, Deo Mkuki, Duwa Said na Athumani China. Simba SC ilishinda 4-1 mabao yake yakifungwa na George Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani na Dua Saidi wakati bao pekee la Yanga SC lilifungwa na Constantine Kimanda.
Pundits divided over VAR controversy in Liverpool's clash with Real Madrid
as reason for surprise decision is revealed - after Reds fans were
convinced they were getting a penalty
-
The Reds thought they were about to be awarded a spot kick against their
Spanish opponents when Aurelien Tchouameni handled the ball inside the
penalty are...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment