Mbrazil Willian akifumua shuti kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 77 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Lille katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Tammy Abraham dakika ya 22, wakati la Lille lilifungwa na Victor Osimhen dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy and wife Erica put on a united front after Ryder Cup fans
throw toxic taunts at star over personal life
-
McIlroy was tormented about Erica, his ex-fiancee tennis star Caroline
Wozniacki and other aspects of his personal life by fans as he conquered
the Bethpag...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment