Mbrazil Willian akifumua shuti kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 77 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Lille katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Tammy Abraham dakika ya 22, wakati la Lille lilifungwa na Victor Osimhen dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ian McLauchlan dead aged 83: British and Irish Lions legend known as
'Mighty Mouse' passes away as tributes pour in for 'indestructible' hero
-
Nicknamed 'Mighty Mouse' for his powerful scrummaging and compact frame, he
won 43 caps for Scotland between 1969 and 1979, captaining his country 19
times.
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment