Mbrazil Willian akifumua shuti kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 77 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Lille katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq. Bao la kwanza la Chelsea lilifungwa na Tammy Abraham dakika ya 22, wakati la Lille lilifungwa na Victor Osimhen dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sowore: Detaining a citizen without charges, a miscarriage of justice — Obi
-
From Idu Jude, Abuja Former Governor of Anambra state and 2023 presidential
candidate of the Labour Party, Mr. Peter Obi, has joined numerous calls in
co...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment