Nahodha Lionel Messi akimpongeza mshambuliaji mwenzake, Luis Suarez baada ya kuifungia mabao yote mawili Barcelona dakika za 58 na 84 ikiilaza Inger Milan 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Katika mchezo huo wa Kundi F, bao la Inter Milan lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Transfer: Sesko arrives in Man Utd, set to seal deal
-
By Seyi Babalola RB Leipzig striker Benjamin Šeško has landed in the UK for
his medical with Manchester United. The Red Devils have agreed to sign
Šeško ...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment