Nahodha wa Croatia, Luka Modric akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya tano katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Hungary kwenye mchezo wa Kundi E kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Stadion Poljud mjini Split. Mabao mengine ya Croatia yamefungwa na Bruno Petkovic dakika ya 24 na 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Billy Vigar: 'Traumatised' team-mate of ex-Arsenal academy star opens up on
the 'freak accident' - as fundraiser passes £8,000
-
Chichester City goalkeeper Kieran Magee, 30, was on the pitch when the
striker suffered a 'significant brain injury' after crashing into a
concrete wall wh...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment