Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kufungia Juventus bao la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 17 na Federico Bernardeschi dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Lions must 'take personal responsibility' after Argentina defeat, urges
Tom Curry - as Fin Smith calls for a response as squad arrive in Australia
-
ALEX BYWATER: The British & Irish Lions arrived in Perth on Sunday with a
warning from two of their England stars that they must improve and quickly
ringin...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment