Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kufungia Juventus bao la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 17 na Federico Bernardeschi dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Grealish makes brutally-honest admission about his partying after
being exiled by Pep Guardiola: 'I wasn't helping myself'
-
After moving north to the blue side of Manchester in a £100million deal
from Aston Villa in the summer of 2021, the 30-year-old enjoyed four years
under Pe...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment