Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane akipangusa uso wake wakati wa mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Club Brugge uliomalizika kwa sare ya 2-2 usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Club Brugge ilitangulia kwa mabao ya mshambuliaji wake Mnigeria Emmanuel Dennis dakika ya tisa na 39 kabla ya Real Madrid kusawazisha kupitia kwa Sergio Ramos dakika ya 55 na Casemiro dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea fans fire warning to the rest of the Premier League following
Estevao's 'unbelievable' debut after wonderkid helped Blues to dominant win
over Bayer Leverkusen
-
It didn't take long for the 18-year-old Brazilian to announce his arrival -
within 18 minutes, Estevao pounced on a rebound from Cole Palmer's shot to
hit ...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment