Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane akipangusa uso wake wakati wa mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Club Brugge uliomalizika kwa sare ya 2-2 usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Club Brugge ilitangulia kwa mabao ya mshambuliaji wake Mnigeria Emmanuel Dennis dakika ya tisa na 39 kabla ya Real Madrid kusawazisha kupitia kwa Sergio Ramos dakika ya 55 na Casemiro dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Borno suicide bombing cowardly – Tinubu
-
Mourns Kano explosion victims By Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President
Bola Tinubu has strongly condemned the recent suicide bombing in Konduga,
Borno ...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment