Refa Aliaksei Kulbakov wa Belarus akimuonyesha kadi nyekundu kipa wa Manchester City, Claudio Bravo aliyeingia dakika ya 46 kuchukau nafasi ya for Ederson Moraes baada ya kumuangusha Josip Ilicic wa Atalanta dakika ya 81 wakati anakwenda kufunga timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa wa Giuseppe Meazza mjini Milan. Kyle Walker alikwenda kusimama langoni katika mchezo ambao Raheem Sterling alianza kuifungia Manchester City dakika ya saba kabla ya kiungo anayecheza kwa mkopo kutoka Chelsea, Mario Pasalic kuisawazishia Atalanta dakika ya 49, dakika tu baada ya Gabriel Jesus kukosa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shohei Ohtani accused of brutally snubbing his wife on live TV after
winning MVP award
-
It was no surprise Shohei Ohtani won his second straight National League
MVP award on Thursday. But as inevitable as another MVP was, his victory
celebrati...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment