Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London wakitoka kufungwa mfululizo na Manchester City and West Ham. Mabao ya Chelsea yalfungwa na Tammy Abraham dakika ya 24 na Mason Mount dakika ya 48, wakati la Villa lilifungwa na Mahmoud Hassan 'Trezeguet' PICHA ZAIDI GONGA HAPA
10 Takeaways: Bednar Has a Goaltending Decision To Make For Game 4
-
Goaltending has been a story to follow since the opening game of the series
last week saw 15 combined goals […] The post 10 Takeaways: Bednar Has a
Goalten...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment