Sergio Aguero akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao matatu Manchester City dakika za 28, 57 na 81 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya wenyeji, Aston Villa Uwanja wa Villa Park usiku wa jana, hiyo ikiwa ni hat-trick yake ya 12 kwenye Ligi Kuu ya England na kuwa mchezaji anayeongoza kufunga mabao matatu, matatu katika mechi moja. Mabao mengine ya Manchester City yalifungwa na Riyad Mahrez dakika ya 18 na 24 na Gabriel Jesus dakika ya 45 na ushei, wakati la Villa lilifungwa na Anwar El Ghazi kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See the stunning moment AFL grand final performer pleads for help in the
middle of his song as he's hit by horror technical stuff-up at the MCG
-
Aussie music legend Mike Brady has endured a nightmare moment on stage at
the AFL grand final, with soundtrack issues flattening his performance of
Up Ther...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment