Nicolas Pepe wa Arsenal akienda chini baada ya kuangushwa na Jack O'Connell wa Sheffield United kwenye boksi, lakini refa Mike Dean hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Gabriel Martinelli alianza kuifungia Arsenal dakika ya 45 kabla ya John Fleck kuisawazishia Sheffield United dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Edo: Hotel under construction collapses, kills owner
-
From Tony Osauzo, Benin Tragedy has struck in the Idumoza community, Uromi,
Esan North-East Local Government Area of Edo State, where a hotel under
const...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment