Nicolas Pepe wa Arsenal akienda chini baada ya kuangushwa na Jack O'Connell wa Sheffield United kwenye boksi, lakini refa Mike Dean hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Gabriel Martinelli alianza kuifungia Arsenal dakika ya 45 kabla ya John Fleck kuisawazishia Sheffield United dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Maccabi Tel Aviv chief blasts 'blatant falsehoods' about club's fans after
they were BANNED from attending controversial Aston Villa clash
-
Maccabi Tel Aviv 's chief executive has condemned 'blatant falsehoods'
about the club's supporters ahead of Thursday's Europa League clash with
Aston Villa .
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment