Mshambuliaji Mfaransa Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za 72 na 90 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Ibiza ya Segunda B iliyotangulia kwa bao la Pep Caballe dakika ya tisa Uwanja wa Manispaa ya Can Misses katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
GB's Hunt makes global mark with 200m silver
-
Great Britain's Amy Hunt announces herself on the global stage by claiming
a stunning 200m silver in her first major final at the World Championships
in To...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment