Refa Kevin Friend akimuonyesha Nemanja Matic wa Manchester United kadi nyekundu dakika ya 76 baada ya kumuonyesha kadi ya njano ya pili kwa kumchezea rafu Ilkay Gundogan wa Manchester City kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali Kombe la Ligi England jana Uwanja wa Etihad. Manchester United ilishinda 1-0, bao pekee la Matic dakika ya 35, lakini ni Manchester City inayokwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kushinda 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Old Trafford Januari 7 na itamenyana na Aston Villa Machi 1, Uwanja wa Wembley, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris WINS the Hungarian Grand Prix and narrows gap on McLaren title
rival Oscar Piastri - but it's more misery for Lewis Hamilton
-
JONATHAN McEVOY IN BUDAPEST: Hoping for a tonic to take away with him into
the summer break after losing out to Piastri in Belgium, he got it.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment