Mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Diana Msemwa (kulia) akishangilia na Protasia Mbunda baada ya kuifungia Tanzanites bao la kwanza katika ushnidi wa 2-1 dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2020. Bao la pili la Tanzania limefungwa na wakati la Opa Clement, wakati la Uganda limefungwa na Julieth Nalukenge. Sasa Tanzanites watatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo kwenye mchezo wa marudiano Uganda ili kusonga mbele
Lando Norris WINS the Hungarian Grand Prix and narrows gap on McLaren title
rival Oscar Piastri - but it's more misery for Lewis Hamilton
-
JONATHAN McEVOY IN BUDAPEST: Hoping for a tonic to take away with him into
the summer break after losing out to Piastri in Belgium, he got it.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment