Roberto Firmino (kulia) akishangilia na beki Virgil van Dijk baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza Wolverhampton Wanderers 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux. Liverpool ilitangulia kwa bao la Jordan Henderson dakika ya nane kabla ya Raul Jimenez kuisawazishia Wolves dakika ya 51 na kwa ushindi huo, Kops wanaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 16 zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
GB's Hunt makes global mark with 200m silver
-
Great Britain's Amy Hunt announces herself on the global stage by claiming
a stunning 200m silver in her first major final at the World Championships
in To...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment