Gabriel Jesus akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 72 na 75 kufuatia Ilky Gundogan kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya nane na Bernardo Silva la pili dakika ya dakika ya 19 katika ushindi wa 4-0 wa Manchester City dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
GB's Hunt makes global mark with 200m silver
-
Great Britain's Amy Hunt announces herself on the global stage by claiming
a stunning 200m silver in her first major final at the World Championships
in To...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment