Beki wa Real Madrid, Nacho akipongezwa na Nahodha, Sergio Ramos (kulia) na kocha Zinedine Zidane (kushoto) baada ya kuifungia bao pekee timu hiyo dakika ya 78 ikiwalaza 1-0 wenyeji, Real Valladolid Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrilla na kupanda kileleni mwa La Liga, sasa wakiwazidi pointi tatu mabingwa watetezi, Barcelona (46-43) baada ya wote kucheza mechi 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
GB's Hunt makes global mark with 200m silver
-
Great Britain's Amy Hunt announces herself on the global stage by claiming
a stunning 200m silver in her first major final at the World Championships
in To...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment