Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, Mohamed 'Mo' Dewji (kulia) akiwa na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Andres Sjoberg leo Jijini Dar es Salaam katika mazungumzo yaliyohusu ushirikiano wa maendeleo ya soka ya vijana. Mo Dewji amesema Balozi Sjoberg amejitolea kuleta makocha mashuhuri kuisaidia Simba kuanza mpango huo na kuzindua kituo cha kukuza soka ya vijana cha klabu hiyo ndani ya mwaka huu
LIV Golf makes major format change for 2026 that will delight its
multimillionaire players
-
LIV's failure to secure ranking points in the past three years has seen its
star names plummet down the global standings, with the consequence that
they ha...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment