Angel Correa akipongezwa na Koke baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la ushindi dakika ya 86 ikiilaza 3-2 Barcelona katika Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme jana Uwanja wa King Abdullah Sports City Jijini Jeddah. Mabao mengine ya Atletico Madrid yalifungwa na Koke dakika ya 46 na Alvaro Morata kwa penalti dakika ya 81, wakati ya Barcelona yalifungwa na Lionel Messi dakika ya 51 na Antoine Griezmann dakika ya 62. Atletico sasa itamenyana na mahasimu wao wa Jiji, Real Madrid katika fainali Jumapili hapo hapo King Abdullah Sports City, Jeddah PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peter Crouch hits out at Man United's recruitment strategy and claims the
club has 'three No 2 goalkeepers' after summer signing Senne Lammens is
benched AGAIN at Brentford
-
Peter Crouch has hit out Manchester United 's recruitment strategy and
claimed the club now have 'three No 2 goalkeepers' after benching Senne
Lammens agai...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment