KOCHA MPYA WA YANGA SC ALIVYOWASILI LEO NA MOJA KWA MOJA KUIFUATA TIMU ZANZIBAR
Afisa Mhamasishaji wa Yanga SC, Antonio Nugaz (kulia) baada ya kumpokea kocha mpya mtarajiwa wa klabu hiyo, Mbelgiji, Luc Aymael (kushoto) aliyewasili Dar es Salaam leo na moja kwa moja kwenda kuungana na timu visiwani Zanzibar kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi
Luc Aymael anakuja Yanga baada ya kuzifundisha klabu za AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Missile ya Gabon, AFC Leopard ya Kenya, Rayon Sport ya Rwanda, JS Kairouan ya Tunisia, Al Nasr ya Dubai, Al Merreikh ya Sudan, Polokwane City, Free State Stars, Black Leopard za Afrika Kusini na Tala'ea El Gaish ya Misri
Muhammadu Indimi lives large in the lap of luxury
-
By Funsho Arogundade There is no gainsaying that billionaire tycoon, Dr.
Muhammadu Indimi has a wondrous taste. Over the years, the Borno State-born
bu...
0 comments:
Post a Comment