KOCHA MPYA WA YANGA SC ALIVYOWASILI LEO NA MOJA KWA MOJA KUIFUATA TIMU ZANZIBAR
Afisa Mhamasishaji wa Yanga SC, Antonio Nugaz (kulia) baada ya kumpokea kocha mpya mtarajiwa wa klabu hiyo, Mbelgiji, Luc Aymael (kushoto) aliyewasili Dar es Salaam leo na moja kwa moja kwenda kuungana na timu visiwani Zanzibar kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi
Luc Aymael anakuja Yanga baada ya kuzifundisha klabu za AS Vita ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Missile ya Gabon, AFC Leopard ya Kenya, Rayon Sport ya Rwanda, JS Kairouan ya Tunisia, Al Nasr ya Dubai, Al Merreikh ya Sudan, Polokwane City, Free State Stars, Black Leopard za Afrika Kusini na Tala'ea El Gaish ya Misri
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment