Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili dakika ya 33 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Manchester United usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Mabao mengine ya Man City yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 17 na Andreas Pereira aliyejifunga dakika ya 38, wakati bao pekee la Man United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ashes coverage on TNT Sports branded 'a travesty' and 'poor product' by
cricket fans in clunky start to series - with commentators not even in
Australia!
-
England's inauspicious start to the Ashes was matched by TNT Sports, with
the broadcaster's coverage branded 'a poor product' and 'travesty'.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment