Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Juventus dakika za 49, 67 kwa penalti na 82 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Cagliari kwenye mchezo wa Serie A jana Uwanja wa Allianz mjini Torino, bao lingine likifungwa na Gonzalo Higuain. Hiyo inakuwa hat trick ya 56 kwake na ya 36 kwenye ligi pekee, ambayo ni idadi kubwa tangu Januari mwaka 2008 kwenye ligi tano kubwa za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal seized the window of opportunity seconds before it closed on a
weekend when pace-setters Liverpool conceded ground, writes CRAIG HOPE
-
Europe and USA, Newcastle and Arsenal. Here was the latest round of what
has become the Premier League's most irritable and intriguing rivalry.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment