Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Juventus dakika za 49, 67 kwa penalti na 82 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Cagliari kwenye mchezo wa Serie A jana Uwanja wa Allianz mjini Torino, bao lingine likifungwa na Gonzalo Higuain. Hiyo inakuwa hat trick ya 56 kwake na ya 36 kwenye ligi pekee, ambayo ni idadi kubwa tangu Januari mwaka 2008 kwenye ligi tano kubwa za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See you later, alligator! Woman finds scaly surprise inside deceased son's
room
-
A mother from Detroit, Michigan, experienced a shocking moment after the
death of her son: when the woman entered her son's room after the funeral,
she was...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment