Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 56 ikiwalaza mahasimu, Atletico Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Kwa ushindi huo, Real inafikisha point 49 katika mchezo wa 22 na kuendelea kuongoza La Liga, sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
AFL star Bailey Smith's four-word blindside after we bust him with Tammy
Hembrow weeks after she split from her husband: Find out ALL the details
about their secret weekend
-
The Cats' new recruit, 24, was riding high after helping his team thrash
Essendon on Friday night. By Saturday morning, he was on a flight to
Brisbane for ...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment