Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 56 ikiwalaza mahasimu, Atletico Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Kwa ushindi huo, Real inafikisha point 49 katika mchezo wa 22 na kuendelea kuongoza La Liga, sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FIFA announces new peace prize to be awarded at World Cup draw in Washington
-
MIAMI (AP) — FIFA has announced the creation of a peace prize, which it
plans to award for the first time at the draw for the World Cup on Dec. 5
in Washin...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment