Beki Antonio Rudiger akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 46 na 71 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Leicester City, ambayo mabao yake yamefungwa na Harvey Barnes dakika ya 54 na Ben Chilwell dakika ya 64 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Red Bull's billions can revolutionise rugby: Energy drink giant
conquered F1 and shook up football, so it's no wonder Newcastle are buzzing
after takeover
-
ALEX BYWATER: With a reputation for innovation and unparallelled success in
their sporting ventures, Red Bull's takeover of Newcastle Falcons has the
poten...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment