Beki Antonio Rudiger akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 46 na 71 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Leicester City, ambayo mabao yake yamefungwa na Harvey Barnes dakika ya 54 na Ben Chilwell dakika ya 64 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cardi B's boyfriend Stefon Diggs' paternity test confirms he fathered
Instagram model's baby
-
The 31-year-old Diggs, who is expecting a child with Cardi B later this
year, had initially disputed fathering the child with Aileen Lopera, known
as Lord ...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment