Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
President of Parks and Rec? Trump asserts authority over public spaces in DC
-
A federal judge weighing the future of an expansive Washington park
insisted this week she had no intention of becoming Amy Poehler, the
actress who spent ...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment