Kiungo wa Simba SC, Luis Miquissone raia wa Msumbiji (kulia) akishangilia bada ya kuifungia timu yake hiyo mabao matatu dakika za 64, 76 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhido ya Arusha FC kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Aruaha. Mabao mengine ya Simba yamefungwa na mshambuliaij Meddie Kagere mawili dakika ya tano na 34 na Mzambia, Larry Bwalya dakika ya 24
Oilers star Evander Kane slammed for 'dirty and classless' move after
losing to Panthers in Stanley Cup Finals
-
Nobody is quite sure when hockey's handshake line was born. The practice is
believed to be over a century old, but whenever it started, Edmonton Oilers
sta...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment