Angel Di Maria (kushoto) akishangilia na Neymar baada ya kufunga bao moja na kuseti mawili katika ushindi wa 3-0 wa Paris Saint-Germain dhidi ya Rasen Ballsport Leipzig ya Ujerumani kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Luz Jijini Lisbon, Ureno. Di Maria alifunga bao la pili dakika ya 42 baada ya kumsetia Marquinhos kufunga la kwanza dakika ya 13 kabla ya kumpasia Juan Bernat kufunga la tatu dakika ya 56 na baada ya kuitoa RB Leipzig, sasa PSG itakutana na mshindi kati ya Olympique Lyon ya Ufaransa pia na Bayern Munich ya Ujerumani katika fainali Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police deploy 700 officers, drones, dogs and horses - and make stadium a
no-fly zone - in huge operation to stop unrest at Aston Villa vs Maccabi
Tel Aviv after Israeli fans were BANNED
-
West Midlands Police will also deploy drones, dogs, horses and 'protest
liaison officers' at a match from which away fans are banned. A no-fly zone
will al...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment