Mkurugenzi wa Mtibwa Sugar ya Morogoro, Jamal Bayser (kushoto) akimkabidhi kiungo Baraka Gamba Majogoro (katikati) nakala za mkataba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na timu hiyo kutoka Polisi Tanzania ya Kilimanjaro. Kulia ni Meneja wa mchezaji huyo, Peter Simon na huyo anakuwa mchezaji wa pili mpya kusajiliwa Mtibwa Sugar baada ya kiungo mwingine, Abal Kassim Khamis kutoka Azam FC kwa mkopo
Trump open to shifting US troops from Germany to Poland
-
Will US troops withdrawn from Germany be moved to Poland? When asked, US
President Donald Trump said Warsaw favours the idea, and it is
feasible.View on eu...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment